Dodoma-Mjini, Tanzania +255 756 231 998 info@uwaka.org
Wanachama Arusha

77

Wanachama Kilimanjaro

1463

Wanachama Manyara

12

Kuhusu Sisi

Miaka 26 ya Uzoefu

UWAKA-1998 ni Taasisi Iliyoanzishwa rasmi Mnamo Mwaka 1998 Kwa dhumuni la kuwaleta wakazi, wenyeji na wazaliwa wote wa Mikoa ya Kaskazini Pamoja. Lengo kuu la Taasisi hii ni Kudumisha undugu na ujamaa baina ya wana kaskazini na Kusaidiana katika vipindi Vigumu kama vile: Misiba.

Huduma Bora
Uongozi Mahiri
Huduma Bure
Huduma 12/7
Una swali kuhusu UWAKA1998?

+255 756 231 998

Soma Zaidi
Huduma Zetu

Huduma zinazotolewa na UWAKA1998

Viti

Tunakodisha viti kwa bei nafuu

MAHEMA

Tunakodisha mahema kwa bei nafuu

Tupigie

Kupata huduma zetu

+255 756 231 998

Mawasiliano

Je, unahitaji Msaada Wetu? Tuko Hapa!

Tuna jibu ndani ya saa 24.
Msaada wa simu kwa saa 24.

Wasiliana Nasi Kwa Swali Lolote kuhusu huduma za UWAKA1998 na mengineyo yanayo husiana na UWAKA1998.

Piga simu kuuliza swali lolote.

+255 756 231 998

Uongozi

Timu yetu mahiri ipo tayari kukusaidia

Shafii Ramadhani Msangi

Mwenyekiti

Peter Elifasi Makule

Makamu Mwenyekiti

David Gerson Mollel

Katibu Mkuu

Japhet Jeremia Mrindoko

Naibu Katibu

Elly-Elisa Simon Maro

Mhazini

Sifael Baran Niniko

Mhazini Msaidizi

Elimrima Kimambo

Karani Mkuu

Alice Munuo

Karani Msaidizi

Ofisi Yetu

Dodoma-Mjini, Tanzania

info@uwaka.org

+255 756 231 998

Maoni

© UWAKA1998. Haki zote zimehifadhiwa.